3 Ndipo nikamkaribia yule nabii wa kike, naye akapata mimba na baada ya muda akazaa mwana.+ Yehova sasa akaniambia: “Mwite jina lake Maher-shalal-hash-bazi,
3Na Yehova akaendelea kuniambia: “Nenda tena, mpende mwanamke anayependwa na rafiki+ yako na ambaye anafanya uzinzi, kama vile Yehova alivyowapenda wana wa Israeli+ ingawa wanageukia miungu mingine+ na kupenda keki za zabibu kavu.”+