Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi?

  • Hosea 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wamemtendea hila+ Yehova mwenyewe, kwa maana wamezaa wana wa kigeni.+ Sasa, mwezi mmoja utawameza pamoja na mafungu yao ya mashamba.+

  • Hosea 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini wao wenyewe, kama mtu wa udongo, wamevunja lile agano.+ Hapo ndipo wamenitendea kwa hila.+

  • Malaki 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yuda ametenda kwa hila, na chukizo limefanywa katika Israeli na katika Yerusalemu;+ kwa maana Yuda ameutia unajisi utakatifu wa Yehova,+ ambao Yeye amependa, naye amemchukua binti ya mungu wa kigeni awe bibi-arusi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki