12Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi?
11 Yuda ametenda kwa hila, na chukizo limefanywa katika Israeli na katika Yerusalemu;+ kwa maana Yuda ameutia unajisi utakatifu wa Yehova,+ ambao Yeye amependa, naye amemchukua binti ya mungu wa kigeni awe bibi-arusi.+