Malaki 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yuda ametenda kwa hila, na jambo fulani lenye kuchukiza limetendwa Israeli na Yerusalemu; kwa maana Yuda ameutia unajisi utakatifu wa* Yehova,+ Anaoupenda, naye amemchukua binti ya mungu wa kigeni kuwa bibi harusi.+ Malaki Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:11 w02 5/1 17 Malaki Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:11 Mnara wa Mlinzi,5/1/2002, uku. 177/1/1989, uku. 316/15/1987, uku. 10
11 Yuda ametenda kwa hila, na jambo fulani lenye kuchukiza limetendwa Israeli na Yerusalemu; kwa maana Yuda ameutia unajisi utakatifu wa* Yehova,+ Anaoupenda, naye amemchukua binti ya mungu wa kigeni kuwa bibi harusi.+