Malaki 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yuda ametenda kwa hila, na chukizo limefanywa katika Israeli na katika Yerusalemu;+ kwa maana Yuda ameutia unajisi utakatifu wa Yehova,+ ambao Yeye amependa, naye amemchukua binti ya mungu wa kigeni awe bibi-arusi.+
11 Yuda ametenda kwa hila, na chukizo limefanywa katika Israeli na katika Yerusalemu;+ kwa maana Yuda ameutia unajisi utakatifu wa Yehova,+ ambao Yeye amependa, naye amemchukua binti ya mungu wa kigeni awe bibi-arusi.+