Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nawezaje kukusamehe kwa ajili ya jambo hili? Wana wako wameniacha, nao wanaendelea kuapa+ kwa kitu ambacho si Mungu.+ Nami niliendelea kuwashibisha,+ lakini wakaendelea kufanya uzinzi,+ nao wanaenda katika nyumba ya mwanamke kahaba wakiwa makundi-makundi.

  • Yeremia 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana nchi imejaa+ wazinzi.+ Kwa maana nchi inaomboleza+ kwa sababu ya laana, viwanja vya malisho vya nyika vimekauka;+ na mwenendo wao ni mbaya, na nguvu zao si kwa njia ya haki.

  • Hosea 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wote ni wazinzi,+ kama tanuru ambalo mwokaji amewasha, ambaye huacha kuchochea baada ya kukanda unga mpaka unapotiwa chachu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki