4 Nchi itaendelea kunyauka+ mpaka wakati gani, na majani ya uwanja wote kukauka?+ Kwa sababu ya ubaya wa wale wanaokaa ndani yake wanyama na viumbe vinavyoruka vimefagiliwa mbali.+ Kwa maana wamesema: “Yeye hauoni wakati wetu ujao.”
3 Ndiyo sababu nchi itaomboleza+ na kila mkaaji ndani yake atadhoofika pamoja na mnyama wa mwituni na kiumbe kinachoruka cha mbinguni, na hata samaki wa baharini watakusanywa katika kifo.+