Zaburi 107:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nchi yenye kuzaa iwe nchi ya chumvi,+Kwa sababu ya ubaya wa wale wanaokaa humo. Yeremia 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na punda-milia+ wamesimama tuli juu ya vilima vitupu; wamevutavuta upepo kama mbwa-mwitu; macho yao hayaoni sawasawa kwa sababu hakuna majani.+
6 Na punda-milia+ wamesimama tuli juu ya vilima vitupu; wamevutavuta upepo kama mbwa-mwitu; macho yao hayaoni sawasawa kwa sababu hakuna majani.+