Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kiberiti na chumvi+ na kuwaka,+ hivi kwamba nchi yake yote haitapandwa, wala kuchipuka, wala mmea wowote hautachipuka ndani yake, kama maangamizi ya Sodoma na Gomora,+ Adma+ na Seboiimu,+ ambayo Yehova aliangamiza katika hasira yake na katika ghadhabu yake;+

  • Isaya 42:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nitaharibu+ milima na vilima, nami nitakausha majani yake yote. Nami nitaibadili mito iwe visiwa, nitayakausha madimbwi yenye matete mengi.+

  • Yeremia 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nchi itaendelea kunyauka+ mpaka wakati gani, na majani ya uwanja wote kukauka?+ Kwa sababu ya ubaya wa wale wanaokaa ndani yake wanyama na viumbe vinavyoruka vimefagiliwa mbali.+ Kwa maana wamesema: “Yeye hauoni wakati wetu ujao.”

  • Yoeli 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lo! Jinsi mnyama wa kufugwa ameugua! Jinsi makundi ya ng’ombe yamevurugika! Kwa maana hawana malisho.+ Pia, makundi ya kondoo ndiyo yamefanywa yachukue hatia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki