Waamuzi 9:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Na Abimeleki akapigana na jiji hilo siku hiyo nzima, akaliteka jiji; akawaua watu waliokuwa ndani yake,+ kisha akalibomoa jiji+ na kulitia chumvi.+ Zaburi 107:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nchi yenye kuzaa iwe nchi ya chumvi,+Kwa sababu ya ubaya wa wale wanaokaa humo. Yeremia 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na hakika yeye atakuwa kama mti ulio peke yake katika nchi tambarare ya jangwani wala hataona wakati mema yatakapokuja;+ lakini atakaa mahali pakavu katika nyika, katika nchi yenye chumvi ambayo haikaliwi.+
45 Na Abimeleki akapigana na jiji hilo siku hiyo nzima, akaliteka jiji; akawaua watu waliokuwa ndani yake,+ kisha akalibomoa jiji+ na kulitia chumvi.+
6 Na hakika yeye atakuwa kama mti ulio peke yake katika nchi tambarare ya jangwani wala hataona wakati mema yatakapokuja;+ lakini atakaa mahali pakavu katika nyika, katika nchi yenye chumvi ambayo haikaliwi.+