2 kwamba hao wakafanya vita na Bera mfalme wa Sodoma,+ na Birsha mfalme wa Gomora,+ Shinabu mfalme wa Adma,+ na Shemeberi mfalme wa Seboiimu,+ na mfalme wa Bela (yaani, Soari).+
8 “Nawezaje kukuacha, Ee Efraimu?+ Nawezaje kukutoa, Ee Israeli?+ Nawezaje kukufanya uwe kama Adma?+ Nawezaje kukuweka uwe kama Seboiimu?+ Moyo wangu umebadilika ndani yangu;+ na wakati huohuo huruma zangu zimewaka.