Mwanzo 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi mpaka wa Mkanaani ukawa kutoka Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ mpaka Sodoma na Gomora+ na Adma+ na Seboiimu,+ karibu na Lasha. Mwanzo 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Abramu alikaa katika nchi ya Kanaani, lakini Loti akakaa kati ya majiji ya Wilaya hiyo.+ Mwishowe akapiga hema karibu na Sodoma. 2 Petro 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 na kwa kuyageuza majiji ya Sodoma na Gomora kuwa majivu aliyahukumia adhabu,+ akiweka kielelezo kwa watu wasiomwogopa Mungu juu ya mambo yatakayokuja;+
19 Basi mpaka wa Mkanaani ukawa kutoka Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ mpaka Sodoma na Gomora+ na Adma+ na Seboiimu,+ karibu na Lasha.
12 Abramu alikaa katika nchi ya Kanaani, lakini Loti akakaa kati ya majiji ya Wilaya hiyo.+ Mwishowe akapiga hema karibu na Sodoma.
6 na kwa kuyageuza majiji ya Sodoma na Gomora kuwa majivu aliyahukumia adhabu,+ akiweka kielelezo kwa watu wasiomwogopa Mungu juu ya mambo yatakayokuja;+