Zaburi 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na dunia ikaanza kutikisika na kutetemeka,+Nayo misingi ya milima ikasukasuka,+Nayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+ Yeremia 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Niliiona milima, na, tazama! ilikuwa ikitikisika, na vilima vyote vilitetemeshwa.+ Sefania 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Siku hiyo ni siku ya ghadhabu, siku ya taabu na ya maumivu makali,+ siku ya dhoruba na ya ukiwa, siku ya giza na ya weusi,+ siku ya mawingu na ya weusi mzito,
7 Na dunia ikaanza kutikisika na kutetemeka,+Nayo misingi ya milima ikasukasuka,+Nayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+
15 Siku hiyo ni siku ya ghadhabu, siku ya taabu na ya maumivu makali,+ siku ya dhoruba na ya ukiwa, siku ya giza na ya weusi,+ siku ya mawingu na ya weusi mzito,