16 Na mtu huyo atakuwa kama majiji ambayo Yehova ameharibu hali Yeye hakuona majuto yoyote.+ Naye atasikia kilio wakati wa asubuhi na king’ora katikati ya mchana.+
11 “ ‘Nilisababisha maangamizi kati yenu, kama maangamizi ya Mungu juu ya Sodoma na Gomora.+ Nanyi mkawa kama kipande cha mti kilichonyakuliwa kutoka motoni;+ lakini hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.