Kumbukumbu la Torati 28:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Mashamba ya mizabibu utayapanda na hakika utayapalilia, lakini pia hutakunywa divai yoyote wala kukusanya chochote,+ kwa sababu mdudu atazila.+ Isaya 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Divai mpya imeomboleza, mzabibu umenyauka,+ wote wenye furaha moyoni wameanza kuugua.+ Hosea 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Uwanja wa kupuria na shinikizo la divai haviwalishi wao,+ nayo divai tamu inamkatisha tamaa.+
39 Mashamba ya mizabibu utayapanda na hakika utayapalilia, lakini pia hutakunywa divai yoyote wala kukusanya chochote,+ kwa sababu mdudu atazila.+