Hosea 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “ ‘Kwa sababu hiyo nitarudi na kuondolea mbali nafaka yangu wakati wake na divai yangu tamu katika majira yake,+ nami nitanyakua sufu yangu na kitani changu vinavyofunika uchi wake.+
9 “ ‘Kwa sababu hiyo nitarudi na kuondolea mbali nafaka yangu wakati wake na divai yangu tamu katika majira yake,+ nami nitanyakua sufu yangu na kitani changu vinavyofunika uchi wake.+