Hosea 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 ‘Kwa hiyo, nitarudi na kuchukua nafaka yangu itakapokomaaNa divai yangu mpya katika majira yake,+Nami nitampokonya sufu yangu na kitani changu kilichokusudiwa kufunika uchi wake.
9 ‘Kwa hiyo, nitarudi na kuchukua nafaka yangu itakapokomaaNa divai yangu mpya katika majira yake,+Nami nitampokonya sufu yangu na kitani changu kilichokusudiwa kufunika uchi wake.