Yeremia 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “‘Nitakapokuwa nikikusanya, nitawamaliza,’ asema Yehova.+ ‘Hakutakuwa na zabibu juu ya mzabibu,+ wala hakutakuwa na tini juu ya mtini, na hakika majani yatakauka. Na vitu ninavyowapa vitapita kando yao.’” Yoeli 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Shamba limeporwa,+ nchi imeomboleza;+ kwa maana nafaka imeporwa, divai mpya imekauka,+ mafuta yamekauka.+
13 “‘Nitakapokuwa nikikusanya, nitawamaliza,’ asema Yehova.+ ‘Hakutakuwa na zabibu juu ya mzabibu,+ wala hakutakuwa na tini juu ya mtini, na hakika majani yatakauka. Na vitu ninavyowapa vitapita kando yao.’”
10 Shamba limeporwa,+ nchi imeomboleza;+ kwa maana nafaka imeporwa, divai mpya imekauka,+ mafuta yamekauka.+