Mambo ya Walawi 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nazo nguvu zenu zitatumika bure, kwa maana nchi yenu haitatoa mazao yake,+ nao mti wa dunia hautatoa matunda yake.+ Yeremia 4:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa sababu nchi hiyo itaomboleza,+ na mbingu juu hakika zitakuwa na giza.+ Ni kwa sababu nimesema, nimefikiria, wala sikujuta, wala sitarudi nyuma kutoka katika jambo hilo.+ Yeremia 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yuda imeomboleza,+ na malango yake yamefifia.+ Yamehuzunika mpaka chini,+ na hata kilio cha Yerusalemu kimeenda juu.+
20 Nazo nguvu zenu zitatumika bure, kwa maana nchi yenu haitatoa mazao yake,+ nao mti wa dunia hautatoa matunda yake.+
28 Kwa sababu nchi hiyo itaomboleza,+ na mbingu juu hakika zitakuwa na giza.+ Ni kwa sababu nimesema, nimefikiria, wala sikujuta, wala sitarudi nyuma kutoka katika jambo hilo.+
2 Yuda imeomboleza,+ na malango yake yamefifia.+ Yamehuzunika mpaka chini,+ na hata kilio cha Yerusalemu kimeenda juu.+