Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Niliona, na, tazama! hapakuwa na mtu wa udongo yeyote, na viumbe vyote vinavyoruka vya mbinguni vilikuwa vimekimbia.+

  • Yeremia 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nitapaaza kilio na maombolezo juu ya milima, na wimbo wa huzuni+ juu ya viwanja vya malisho; kwa maana vitakuwa vimeteketezwa+ hivi kwamba hakuna mwanadamu anayepita katikati na kwa kweli watu hawataisikia sauti ya mifugo.+ Kiumbe kinachoruka cha mbinguni na mnyama watakuwa wamekimbia; watakuwa wameenda.+

  • Yeremia 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nchi itaendelea kunyauka+ mpaka wakati gani, na majani ya uwanja wote kukauka?+ Kwa sababu ya ubaya wa wale wanaokaa ndani yake wanyama na viumbe vinavyoruka vimefagiliwa mbali.+ Kwa maana wamesema: “Yeye hauoni wakati wetu ujao.”

  • Sefania 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nitammaliza kabisa mtu wa udongo na mnyama.+ Nitamaliza kiumbe kinachoruka cha mbinguni na samaki wa baharini,+ na vikwazo pamoja na waovu;+ nami nitamkatilia mbali mwanadamu kutoka katika uso wa nchi,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki