Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Niliona, na, tazama! hapakuwa na mtu wa udongo yeyote, na viumbe vyote vinavyoruka vya mbinguni vilikuwa vimekimbia.+

  • Yeremia 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nchi itaendelea kunyauka+ mpaka wakati gani, na majani ya uwanja wote kukauka?+ Kwa sababu ya ubaya wa wale wanaokaa ndani yake wanyama na viumbe vinavyoruka vimefagiliwa mbali.+ Kwa maana wamesema: “Yeye hauoni wakati wetu ujao.”

  • Hosea 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndiyo sababu nchi itaomboleza+ na kila mkaaji ndani yake atadhoofika pamoja na mnyama wa mwituni na kiumbe kinachoruka cha mbinguni, na hata samaki wa baharini watakusanywa katika kifo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki