Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 23:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 kwa kutoingia kamwe kati ya mataifa haya,+ yaani, haya yanayobaki na ninyi. Nanyi msitaje majina ya miungu yao+ wala kuapa kwa hiyo,+ msiitumikie wala kuiinamia.+

  • Yeremia 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Na itatukia kwamba ikiwa kwa hakika watajifunza njia za watu wangu katika kuapa kwa jina langu,+ ‘Kama anavyoishi Yehova!’ kama walivyowafundisha watu wangu kuapa kwa Baali,+ wao pia watajengwa katikati ya watu wangu.+

  • Amosi 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 wale wanaoapa kwa hatia ya Samaria,+ na ambao husema: “Kama anavyoishi mungu wako, Ee Dani!”+ na, “Kama inavyoishi njia ya Beer-sheba!”+ Nao wataanguka, wala hawatasimama tena.’ ”+

  • Sefania 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 na wale wanaoliinamia jeshi la mbinguni+ juu ya madari, na wale wanaoinama,+ wakifanya viapo rasmi kwa Yehova+ na kufanya viapo rasmi kupitia kwa Malkamu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki