Amosi 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wale wanaoapa kwa hatia ya Samaria+ na kusema,“Kwa hakika kama mungu wako anavyoishi, Ee Dani!”+ Na, “Kwa hakika kama inavyoishi njia ya Beer-sheba!”+ Wataanguka, na hawatainuka tena.’”+
14 Wale wanaoapa kwa hatia ya Samaria+ na kusema,“Kwa hakika kama mungu wako anavyoishi, Ee Dani!”+ Na, “Kwa hakika kama inavyoishi njia ya Beer-sheba!”+ Wataanguka, na hawatainuka tena.’”+