2 Wafalme 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha mfalme wa Ashuru akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+ Hosea 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Watu wa Samaria watahesabiwa kuwa na hatia,+ kwa sababu wamemwasi Mungu wao.+ Watauawa kwa upanga,+Watoto wao watapondwapondwa,Na wanawake wao wenye mimba watapasuliwa tumbo.”
11 Kisha mfalme wa Ashuru akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+
16 Watu wa Samaria watahesabiwa kuwa na hatia,+ kwa sababu wamemwasi Mungu wao.+ Watauawa kwa upanga,+Watoto wao watapondwapondwa,Na wanawake wao wenye mimba watapasuliwa tumbo.”