Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa maana kabla mvulana huyo hajajua jinsi ya kuita, ‘Baba yangu!’ na ‘Mama yangu!’ mali za Damasko na nyara za Samaria zitachukuliwa mbele ya mfalme wa Ashuru.”+

  • Amosi 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Ole wao wanaojitumaini* huko Sayuni,

      Wale wanaojiona wakiwa salama katika mlima wa Samaria,+

      Wanaume maarufu wa taifa kuu zaidi kati ya mataifa,

      Wale ambao nyumba ya Israeli huwaendea!

  • Amosi 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Basi watakuwa mstari wa mbele kupelekwa uhamishoni,+

      Na karamu zenye shamrashamra za wanaojinyoosha kwa starehe zitakoma.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki