Kumbukumbu la Torati 32:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wao wamenichochea niwe na wivu kwa kile ambacho si mungu;+Wameniudhi kwa sanamu zao za ubatili;+Na mimi, nitawachochea wawe na wivu kwa kile ambacho si kikundi cha watu;+Kwa taifa jinga nitawatia uchungu.+ Yeremia 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Je, taifa limebadili miungu,+ kwa ajili ya ile ambayo si miungu?+ Lakini watu wangu mwenyewe wameubadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu ambacho hakiwezi kuleta faida yoyote.+ 1 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+ Wagalatia 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hata hivyo, wakati hamkumjua Mungu,+ ndipo mlipoitumikia ile ambayo kwa asili si miungu.+
21 Wao wamenichochea niwe na wivu kwa kile ambacho si mungu;+Wameniudhi kwa sanamu zao za ubatili;+Na mimi, nitawachochea wawe na wivu kwa kile ambacho si kikundi cha watu;+Kwa taifa jinga nitawatia uchungu.+
11 Je, taifa limebadili miungu,+ kwa ajili ya ile ambayo si miungu?+ Lakini watu wangu mwenyewe wameubadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu ambacho hakiwezi kuleta faida yoyote.+
4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+