Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nawezaje kukusamehe kwa ajili ya jambo hili? Wana wako wameniacha, nao wanaendelea kuapa+ kwa kitu ambacho si Mungu.+ Nami niliendelea kuwashibisha,+ lakini wakaendelea kufanya uzinzi,+ nao wanaenda katika nyumba ya mwanamke kahaba wakiwa makundi-makundi.

  • Ezekieli 22:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na mwanamume amefanya chukizo pamoja na mke wa mwenzake, na mwanamume amemnajisi+ binti-mkwe wake mwenyewe kwa mwenendo mpotovu;+ na ndani yako mwanamume amemfedhehesha dada yake, binti ya baba yake mwenyewe.+

  • Hosea 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kuna mambo ambayo yameenea, kutangaza laana+ na kuzoea kufanya udanganyifu+ na uuaji+ na wizi+ na uzinzi,+ na vitendo vya kumwaga damu vimegusana na vitendo vingine vya kumwaga damu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki