Zaburi 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kinywa chake kimejaa viapo na udanganyifu na ukandamizaji.+Chini ya ulimi wake kuna taabu na mambo yenye kuumiza.+ Zaburi 59:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu ya dhambi ya kinywa chao, neno la midomo yao;+Na wakamatwe katika kiburi chao,+Naam, kwa sababu ya laana na udanganyifu ambao wanajizoeza.
7 Kinywa chake kimejaa viapo na udanganyifu na ukandamizaji.+Chini ya ulimi wake kuna taabu na mambo yenye kuumiza.+
12 Kwa sababu ya dhambi ya kinywa chao, neno la midomo yao;+Na wakamatwe katika kiburi chao,+Naam, kwa sababu ya laana na udanganyifu ambao wanajizoeza.