Zaburi 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tazama! Kuna mtu aliye na mimba ya jambo lenye kuumiza,+Naye amechukua mimba ya taabu na hatakosa kuzaa uwongo.+ Zaburi 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+ Zaburi 55:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Maneno ya kinywa chake ni laini kuliko siagi,+Lakini moyo wake una mwelekeo wa kupigana.+Maneno yake ni laini kuliko mafuta,+Lakini ni panga zilizochomolewa.+ Methali 10:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kinywa cha mwadilifu—hicho huzaa tunda la hekima,+ lakini ulimi wa upotovu utakatiliwa mbali.+ Methali 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mtenda-maovu anasikiliza kwa makini mdomo wenye madhara.+ Mwongo anatega sikio asikilize ulimi unaotokeza shida.+
14 Tazama! Kuna mtu aliye na mimba ya jambo lenye kuumiza,+Naye amechukua mimba ya taabu na hatakosa kuzaa uwongo.+
2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+
21 Maneno ya kinywa chake ni laini kuliko siagi,+Lakini moyo wake una mwelekeo wa kupigana.+Maneno yake ni laini kuliko mafuta,+Lakini ni panga zilizochomolewa.+
4 Mtenda-maovu anasikiliza kwa makini mdomo wenye madhara.+ Mwongo anatega sikio asikilize ulimi unaotokeza shida.+