Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Tazama! Kuna mtu aliye na mimba ya jambo lenye kuumiza,+

      Naye amechukua mimba ya taabu na hatakosa kuzaa uwongo.+

  • Zaburi 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+

      Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+

  • Zaburi 55:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Maneno ya kinywa chake ni laini kuliko siagi,+

      Lakini moyo wake una mwelekeo wa kupigana.+

      Maneno yake ni laini kuliko mafuta,+

      Lakini ni panga zilizochomolewa.+

  • Methali 10:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kinywa cha mwadilifu—hicho huzaa tunda la hekima,+ lakini ulimi wa upotovu utakatiliwa mbali.+

  • Methali 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mtenda-maovu anasikiliza kwa makini mdomo wenye madhara.+ Mwongo anatega sikio asikilize ulimi unaotokeza shida.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki