Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ambao wamewaambia wale wanaoona, ‘Msione,’ na wale wanaopata maono, ‘Msione maono ya mambo manyoofu kwa ajili yetu.+ Tuambieni mambo laini; oneni maono ya mambo ya udanganyifu.+

  • Yeremia 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+

  • 2 Timotheo 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana kutakuwa na kipindi cha wakati ambapo hawatalivumilia fundisho lenye afya,+ bali, kwa kupatana na tamaa zao wenyewe, watajikusanyia walimu kwa ajili yao wenyewe ili masikio yao yafurahishwe;+

  • 1 Yohana 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wao hutokana na ulimwengu;+ ndiyo sababu wanasema lile linalotoka kwa ulimwengu na ulimwengu huwasikiliza wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki