3 Kama vile nilivyokutia moyo ukae Efeso nilipokuwa karibu kuondoka na kwenda Makedonia,+ ndivyo ninavyofanya sasa, ili uwaamuru+ watu fulani wasifundishe fundisho tofauti,+
4Hata hivyo, neno lililoongozwa na roho linasema kwa hakika kwamba katika vipindi vya nyakati+ za mwisho wengine wataanguka+ kutoka kwenye imani, wakisikiliza maneno yaliyoongozwa kwa roho yenye kupotosha+ na mafundisho ya roho waovu,+