6 Mimi ninashangaa kwamba mnaondolewa upesi hivyo kutoka kwake Yeye+ aliyewaita ninyi kwa fadhili zisizostahiliwa+ za Kristo nanyi mnapelekwa kwenye habari njema ya aina nyingine.+
9 Kila mtu anayevuka mipaka+ naye hakai+ katika fundisho la Kristo hana Mungu.+ Yeye ambaye anakaa katika fundisho hili ndiye aliye na Baba na Mwana pia.+