Yohana 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna anayekuja kwa Baba ila kupitia kwangu.+ 3 Yohana 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Niliandikia kutaniko jambo fulani, lakini Diotrefe, anayependa kuwa na mahali pa kwanza+ katikati yao, hapokei+ kwa heshima+ jambo lolote kutoka kwetu.
6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna anayekuja kwa Baba ila kupitia kwangu.+
9 Niliandikia kutaniko jambo fulani, lakini Diotrefe, anayependa kuwa na mahali pa kwanza+ katikati yao, hapokei+ kwa heshima+ jambo lolote kutoka kwetu.