2 Wakorintho 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana, kama ilivyo, mtu fulani akija na kuhubiri Yesu mwingine tofauti na yule tuliyemhubiri,+ au mkipokea roho nyingine tofauti na ile mliyopokea,+ au habari njema+ nyingine tofauti na ile mliyokubali, mnamvumilia kwa urahisi.+ Wagalatia 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mlikuwa mnakimbia vyema.+ Ni nani aliyewazuia msiendelee kuitii kweli?+
4 Kwa maana, kama ilivyo, mtu fulani akija na kuhubiri Yesu mwingine tofauti na yule tuliyemhubiri,+ au mkipokea roho nyingine tofauti na ile mliyopokea,+ au habari njema+ nyingine tofauti na ile mliyokubali, mnamvumilia kwa urahisi.+