-
2 Wakorintho 11:4Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
4 Kwa maana, kama ilivyo, mtu fulani akija na kuhubiri Yesu mwingine tofauti na yule tuliyehubiri, au mkipokea roho nyingine tofauti na ile mliyopokea, au habari njema nyingine tofauti na ile mliyokubali, mwachukuliana naye kwa urahisi.
-