17 Lakini ni shukrani kwa Mungu kwamba mlikuwa watumwa wa dhambi lakini kutoka moyoni mkawa wenye kutii namna ile ya fundisho ambayo mliwekwa chini yake.+
5 Kwa maana sisi tunapindua mawazo na kila jambo lililo juu sana ambalo limeinuliwa kinyume cha ujuzi wa Mungu;+ nasi tunaiteka kila fikira ili kuifanya imtii Kristo;