Yeremia 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ninawezaje kukusamehe kwa jambo hili? Wana wako wameniacha,Nao wanaapa kwa kitu ambacho si Mungu.+ Nilitosheleza mahitaji yao,Lakini waliendelea kufanya uzinzi,Na kukusanyika katika nyumba ya kahaba.
7 Ninawezaje kukusamehe kwa jambo hili? Wana wako wameniacha,Nao wanaapa kwa kitu ambacho si Mungu.+ Nilitosheleza mahitaji yao,Lakini waliendelea kufanya uzinzi,Na kukusanyika katika nyumba ya kahaba.