23 kwa sababu wametenda upumbavu katika Israeli,+ nao wanaendelea kufanya uzinzi pamoja na wake za wenzao+ na kuendelea kusema uwongo kwa jina langu mwenyewe neno ambalo mimi sikuwaamuru.+
“‘“Mimi ndiye ninayejua nami ni shahidi,”+ asema Yehova.’”
37 Kwa maana wamefanya uzinzi+ na damu imo mikononi mwao,+ nao wamefanya uzinzi na sanamu zao za mavi.+ Na, mbali na hayo, waliwafanya wana wao waliokuwa wamenizalia wapite motoni kama chakula kwao.+