2 Mwanzo wa neno la Yehova kupitia Hosea, Yehova alimwambia Hosea: “Nenda,+ jichukulie mke wa uasherati na watoto wa uasherati, kwa maana kwa sababu ya uasherati hakika nchi imegeuka isimfuate Yehova.”+
4 Enyi wazinzi,+ je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu?+ Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki+ ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+