36 Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Kwa sababu uchu wako umemiminwa+ nazo sehemu zako za siri+ zimefunuliwa katika matendo yako ya ukahaba kuwaelekea wale wanaokupenda+ kwa tamaa na kuelekea sanamu zako zote za mavi zenye kuchukiza,+ hata kwa damu ya wana wako ambao ulizipa hizo,+