Ezekieli 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo nilimtia mkononi mwa wale wanaompenda kwa tamaa,+ mkononi mwa wana wa Ashuru, ambao alikuwa na uchu kuwaelekea.+ Hosea 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana mama yao amefanya uasherati.+ Yeye mwenye kuwachukua mimba ametenda kwa njia ya aibu,+ kwa maana amesema, ‘Nataka kuwafuata wale wanaonipenda kwa tamaa nyingi,+ wale wanaonipa mkate na maji, sufu na kitani, mafuta na kinywaji.’+
9 Kwa hiyo nilimtia mkononi mwa wale wanaompenda kwa tamaa,+ mkononi mwa wana wa Ashuru, ambao alikuwa na uchu kuwaelekea.+
5 Kwa maana mama yao amefanya uasherati.+ Yeye mwenye kuwachukua mimba ametenda kwa njia ya aibu,+ kwa maana amesema, ‘Nataka kuwafuata wale wanaonipenda kwa tamaa nyingi,+ wale wanaonipa mkate na maji, sufu na kitani, mafuta na kinywaji.’+