Hosea 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana mama yao amefanya ukahaba.*+ Aliyewachukua mimba ametenda kwa aibu,+ kwa kuwa alisema,‘Nitawafuatia wapenzi wangu,+Wanaonipa mkate wangu* na maji yangu,Sufu yangu na kitani changu, mafuta yangu na kinywaji changu.’
5 Kwa maana mama yao amefanya ukahaba.*+ Aliyewachukua mimba ametenda kwa aibu,+ kwa kuwa alisema,‘Nitawafuatia wapenzi wangu,+Wanaonipa mkate wangu* na maji yangu,Sufu yangu na kitani changu, mafuta yangu na kinywaji changu.’