7 Akaendelea kufanya ukahaba na wana wote bora wa Ashuru, naye akajichafua+ kwa sanamu zinazochukiza za wale aliowatamani kwa uchu. 8 Hakuacha ukahaba aliofanya huko Misri, kwa maana walilala naye alipokuwa kijana, nao walipapasa-papasa kifua chake cha ubikira na kummwagia uchu wao.+