Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nikasema: “Ee Mungu wangu, ninaona aibu na haya kuuinua uso wangu kwako, Ee Mungu wangu, kwa sababu makosa yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imerundamana mpaka mbinguni.+

  • Danieli 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ee Yehova, uadilifu ni wako, lakini aibu ni yetu kama ilivyo leo, sisi watu wa Yuda, wakaaji wa Yerusalemu, na Waisraeli wote, wale walio karibu na walio mbali, katika nchi zote ambazo uliwatawanya kwa sababu hawakutenda kwa uaminifu kukuelekea.+

  • Hosea 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Niliwapata Waisraeli kama zabibu nyikani.+

      Kama matunda ya kwanza ya tini niliwaona mababu zenu.

      Lakini walienda kwa Baali wa Peori;+

      Walijiweka wakfu kwa kile kitu cha aibu,*+

      Wakawa chukizo kama kitu walichokipenda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki