Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lo! Jinsi mji mwaminifu+ umekuwa kahaba!+ Ulikuwa umejaa haki;+ uadilifu ulikuwa ukikaa ndani yake,+ lakini sasa ni wauaji.+

  • Yeremia 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kuna msemo: “Mwanamume akimwacha mke wake na mke huyo aondoke kwake na kuwa wa mwanamume mwingine, je, mwanamume huyo anapaswa kurudi kwake tena?”+

      Je, nchi hiyo haikutiwa unajisi hakika?+

      “Nawe mwenyewe umefanya ukahaba pamoja na rafiki wengi;+ na je, unapaswa kurudi kwangu mimi?”+ asema Yehova.

  • Ezekieli 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Lakini ulianza kuutegemea urembo wako+ nawe ukawa kahaba kwa sababu ya jina lako+ na kumimina matendo yako ya ukahaba kwa kila mpita-njia;+ ukawa wake.

  • Ezekieli 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Naye Ohola akaanza kufanya ukahaba,+ alipokuwa chini yangu, na kuendelea kuwa na uchu kuwaelekea wale wanaompenda kwa tamaa,+ kuwaelekea Waashuru,+ waliokuwa karibu,

  • Hosea 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Nenda tena, mpende mwanamke anayependwa na rafiki+ yako na ambaye anafanya uzinzi, kama vile Yehova alivyowapenda wana wa Israeli+ ingawa wanageukia miungu mingine+ na kupenda keki za zabibu kavu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki