Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+

      Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+

      Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+

      Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake.

  • Yeremia 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Msiyategemee maneno ya uwongo,+ mkisema, ‘Hekalu la Yehova, hekalu la Yehova, hili ni hekalu la Yehova!’

  • Mika 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Walio vichwa vyake hutoa hukumu ili wale rushwa+ tu, na makuhani wake hufundisha ili tu wapate malipo,+ na manabii wake hufanya uaguzi ili tu wapate pesa;+ hata hivyo wao huendelea kujiegemeza kwa Yehova, wakisema: “Je, Yehova hayuko katikati yetu?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+

  • Sefania 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Siku hiyo hutaona aibu kwa sababu ya matendo yako yote uliyonikosea,+ kwa maana wakati huo nitaondoa katikati yako watu wako wanaofurahi kwa majivuno;+ nawe hutajivuna tena kamwe katika mlima wangu mtakatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki