13 “Kwa maana kuanzia aliye mdogo zaidi kati yao mpaka aliye mkubwa zaidi kati yao, kila mmoja anajipatia pato lisilo la haki;+ na kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa uwongo.+
11 Ni jambo la lazima kuvifunga vinywa vya watu hao, kwa kuwa watu hao wanaendelea kuharibu nyumba nzima-nzima+ kwa kufundisha mambo ambayo hawapaswi kufundisha, ili kupata pato lisilo la haki.+