Yeremia 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Kwa maana kuanzia mdogo zaidi mpaka mkubwa zaidi, kila mmoja anajipatia faida isiyo ya haki;+Kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa ulaghai.+ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:13 Mnara wa Mlinzi,4/1/1988, kur. 11-12
13 “Kwa maana kuanzia mdogo zaidi mpaka mkubwa zaidi, kila mmoja anajipatia faida isiyo ya haki;+Kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa ulaghai.+