Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa hiyo nitawapa wanaume wengine wake zao, mashamba yao kwa wale wanaoyamiliki;+ kwa maana, kuanzia aliye mdogo zaidi mpaka aliye mkubwa zaidi, kila mmoja anajipatia pato lisilo la haki;+ kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa uwongo.+

  • Ezekieli 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wamechukua rushwa ndani yako kwa kusudi la kumwaga damu.+ Umechukua faida na riba,+ nawe kwa ujeuri unaendelea kupata mapato+ ya wenzako kwa upunjaji,+ nawe umenisahau mimi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

  • Ezekieli 33:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nao wataingia ndani kwako, kama wanavyoingia watu, na kuketi mbele yako kama watu wangu;+ nao hakika watayasikia maneno yako lakini hawatayatenda,+ kwa maana wanaonyesha tamaa zenye uchu kwa kinywa chao nao moyo wao unafuatilia pato lao lisilo la haki.+

  • Luka 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Sasa Mafarisayo, waliokuwa wapenda-pesa, walikuwa wakisikiliza mambo yote hayo, nao wakaanza kumcheka kwa dharau.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki