Isaya 48:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana wamejiita kuwa wametoka katika jiji takatifu,+ nao wamejitegemeza juu ya Mungu wa Israeli,+ Yehova wa majeshi ni jina lake.+ Yeremia 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Msiyategemee maneno ya uwongo,+ mkisema, ‘Hekalu la Yehova, hekalu la Yehova, hili ni hekalu la Yehova!’ Waroma 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa, ikiwa wewe ni Myahudi kwa jina+ na unategemea sheria+ na kujivunia Mungu,+
2 Kwa maana wamejiita kuwa wametoka katika jiji takatifu,+ nao wamejitegemeza juu ya Mungu wa Israeli,+ Yehova wa majeshi ni jina lake.+
4 Msiyategemee maneno ya uwongo,+ mkisema, ‘Hekalu la Yehova, hekalu la Yehova, hili ni hekalu la Yehova!’