Zaburi 48:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wenye ukuu wa kupendeza, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulioko sehemu za mbali za kaskazini,+Mji wa Mfalme Mkuu.+ Zekaria 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Yehova asema hivi, ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa katikati ya Yerusalemu; na Yerusalemu+ litaitwa jiji la ukweli,+ na mlima wa Yehova+ wa majeshi, ule mlima mtakatifu.’ ”+
2 Wenye ukuu wa kupendeza, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulioko sehemu za mbali za kaskazini,+Mji wa Mfalme Mkuu.+
3 “Yehova asema hivi, ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa katikati ya Yerusalemu; na Yerusalemu+ litaitwa jiji la ukweli,+ na mlima wa Yehova+ wa majeshi, ule mlima mtakatifu.’ ”+